Friday, August 5, 2011

Tiger Woods arejea kwa Kishindo

Baada ya kukaa muda mrefu na majeruhi ya mguu Tiger Woods amerejea kwenye ligi hio akiwa mzima wa afya mara baada ya kupona matatizo yake ya mguu.
Tiger Woods akirejea baada ya kukaa miezi mitatu nnje ya major championships.

Tiger alionyesha makali yake hapo Firestone akiwa na mpinzani wake Darren Clarke walipata pongezi kubwa sanaa baada ya kupiga shots zake za awali ambazo watu walionyesha kufurahia kwa kuamini kwamba yule Tiger Woods wazamani amerejea.

"My swing was more of a wipey swing, just kind of wiping it out there so I wasn't getting a full transfer of energy. Now I'm swinging easier. I am not even hitting it hard yet and that's what's fun. I'm hitting it farther without any more effort. Today, some of the drives I hit out there, I got my power back".alisikika Tiger Woods akieleza.

No comments:

Post a Comment