Monday, January 31, 2011

Oprah tells Piers why she'll never get married



"I'm not getting married," Oprah Winfrey told Piers Morgan last night on the premiere of "Piers Morgan Tonight"
"When you get the hankering for the cake and the wedding dress, throw yourself a party and get yourself a really nice gown," she said. But what about her lengthy relationship with Stedman?
There's nothing about it that's traditional," she says of her relationship with Stedman. She goes on to talk about how she makes dinner for her longtime boyfriend. However, "I want to make you a meal when I want to make you a meal. I don't want it to be my responsibility to make you a meal.


Sunday, January 30, 2011

Vinywaji Vinavyotengenezwa na bangi kuingia madukani!!

Bangi ambayo ni madawa yanayopigwa maarufuku miongoni mwa nchi nyingi duniani sasa ni miongoni mwa madawa yatumiwayo na watu wengi zaidi.Na ni miongoni mwa zao lijulikanalo sanaa duniani kuliko yotee.
Jijini California nchini Marekani madawa hayo sasa yanauzwa kwa njia ya kinywaji kwahalali.



Tuesday, January 25, 2011

Spartacus is Back!!!

Ile tamthilia maarufu ya Spartacus imerudi tena hewani ikiwa inajulikana kama "SPARTACUS GOD OF THE ARENA".Ikiwa tayari inaangoza kwa kuangalia na watu,tamthilia hii ambayo wengi walihofu kuwa haito endelea sasa imerudi tene kwenye Luninga.

2011 Jeremy Westerlund Rolls Royce Apparition


Limousine mpya yenye urefu wa futi 23.
Muundo huu wa limousine umetengenezwa na designer mwanafunzi Jeremy Westerlund.
2011 Jeremy Westerlund Rolls Royce Apparition has  Clever design features abound, like the spare wheel secreted into the bodywork at the front like 1930s Rollers, an open cockpit for the driver and the twin rear windows that mirror the shape of the headlights. It’s like something out of a science fiction film, and a heck of a lot more interesting than some of the so-called concept cars Rolls-Royce has show in the past five years.


Sunday, January 23, 2011

14-year-old makes no.1 app of Apple store

Fourteen-year-old Utah teenager Robert Nay has created Apple’s top app on the App Store, a piece of software that is so popular it has even knocked the game Angry Birds from its perch at the top of Apple’s tree.
Nay, from the town of Spanish Fork, Utah, used the resources available at his local library to research how to make an app for the iPhone after his friends told him he should create a game for the hit mobile device.
The game, called Bubble Ball, requires players to position game elements so that a ball can roll to a designated target. The app was approved on December 29 and by Wednesday it had logged more than 2 million downloads to make it the most popular free app.

“I think it’s pretty cool because I never thought my game would do that well,” Nay said. “When I saw it was number one I was pretty astonished.” Older interviewers have told the soft-spoken teenager that had he charged just 1 dollar per download he would now be a young millionaire. But that sense of missed opportunity has not fazed the young inventor.
“That was my first app and I was kind of testing the water so I wanted to make it free,” he said.
He also revealed that’s he’s working on another game. Asked to give details he responded with the poise of a much older businessman.
“That’s a secret,” he told ABC News.Its now Tanzanian and all African parents to support our Children with their dreams and stop forcing them to follow yours,because you had yours,let him have his.

Saturday, January 22, 2011

The world of bikes

DUCATI
Ducati
Kawasaki
Kawasaki Vulcan 1700
Suzuki Hayabusa
Superbike Ostoure

SUPERBIKE

Thursday, January 20, 2011

The world smallest girl

The world's smallest girl with his family in India.
With friends from school.
Her name is Jyoti and her name is already in the Guinness world book of records.

Jyoti is now 23 years old with 23 inches and weighs 12pounds.

Wednesday, January 19, 2011

Viwanja vya ndege Afrika vinatia huzuni

Kiwanja cha taifa cha ndege  Ghana.
Kiwanda  cha taifa cha ndege Botswana.
Kiwanja cha taifa cha ndege ethiopia
Kiwanja cha taifa cha Kenya.
Kiwanja cha taifa Zambia.
Kiwanja cha taifa cha Nigeria.
Kiwanja cha taifa cha Malawi.
Kiwanja cha taifa Rwanda.
Kiwanja cha taifa cha Senegal.
Kiwanja cha taifa cha South Afrika.
Kiwanja cha taifa cha tanzania.

Tuesday, January 18, 2011

The world most amazing island Zanzibar

Zanzibar is a place located in the indian oceanabout 25 miles from Tanzania mainland coast and 6 degree of equator.According to the discovery channel Zanzibar is among the world best island in the world.
The island has comprises a lot of many nice features including historical places and many beaches which are natural.Being near equator ,the island are warm all year round,but officially summer and winter peak in December and June.
This amazing island takes to place where u have ever been with its amazing culture all over.The dressing style of the people with their beautiful language swahili.
This also among the island where the most famous slave trade market took place,where slave where taken from different part of the world and sold to this particular island.
U can go to Zanzibar and have been to Forodhani where the delicious meal is being served.This is where friends and family come together to enjoy.
And the last is Stone Town the house of wounder where all this has begun.This is a place am proud to call home.

Monday, January 17, 2011

Mark Zuckerberg ni kijana Billionare duniani

Mark Zuckerberg mwenye miaka 26 ni kijana tajiri duniani anaemiliki mtandao wa facebook.
Facebook iliundwa mwaka 2004 na Mark Zuckerberg na wenzie Dustin Moskovitz,Eduardo Severin na Chris Hughes wakati walipokuwa wanafunzi katika chuo cha Harvad huko Marekani.
Mark Zuckerberg mwaka 2010 alitangazwa kua Man of the year na gazeti Time huko marekani.

Sunday, January 16, 2011

Super Yacht controlled by ipad

Boat hiyo ya kitajiri ambayo imetengenezwa German inaendeshwa kila kitu na ipad isipokuwa usukani tuu.
Kwa kutumia ipad wateja wa kwenye boat hiyo watakuwa na uwezo wa kuweka muziki,kuzima na kuwasha taa katika vyumba vyao.Captain wa boat hiyo humpa kila mtu ipad wakati wa kuingia katika boat hiyo.
P.Didy na girlfriend wake kim Porter na watoto wao D'Lila na Jessie ni miongoni mwa watu walio panda katika boat hiyo ambayp P.Didy amelipa $850,000 kwa wiki katika boat hiyo.
P.Didy na girlfriend wake wakiburudika katika boat hiyo.
Hapa ni sehemu ya ndani ya boat hiyo.
Muonekano wa boat hiyo kwa mbali.