Thursday, January 13, 2011

The world tallest skyscraper

Dubai Burja Khalifa ni jengo refu zaidi duniani lenye urefu wa mita 828 lililoto mji wa dubai.Jengo hili lilianza kujengwa tarehe 21 december 2004 na kumalizwa 1 october 2009,na kufunguliwa 4 january 2010.
Huu ni mwenekano wa mbali wa jengo hilo.jengo lenye gorofa 160 na kuendelea!!
Moja ya vivutio vya jengo hilo.
Siku ya ya ufunguzi wa jengo!

No comments:

Post a Comment