Wednesday, January 12, 2011

Uwanja wetu unaleta mafanikio yaliyokusudiwa kweliii?

Umepita muda tangu kiwanja hiki kilipojengwa nnchini kwetu,kusema kweli ni kiwanja kikubwa na kizuri sio tu Tanzania bali na hata Africa.
Je ni mafinikio yapi tumeyapata tangu kujengwa kwa kiwanja hiki kipya hadi leo hii hapa TANZANIA.
Ni kweli yale yaliyokusudiwa katika kiwanja hiki yamefikiwa na maendeleo gani basi yanayopatika kwa ajili ya mafanikio ya kiwanja hiki!!!

No comments:

Post a Comment