Wednesday, January 12, 2011

Ombaomba mwenye sauti kama ya redio apata kazi kutokana na sauti yake.

Ombaomba huyu ambae anaishi huko marekani amepata umaarufu kupitia you tube mara baada ya jamaa mmoja kuweka video hii na kupata watazamaji wengi.Ombaomba huyo ambae amepata kazi ya utangazaji kwenye kituo cha redio huko Marekani alikuwa ni muathirika wa madawa ya kulevya.

No comments:

Post a Comment