Friday, October 21, 2011

CHRIS TUCKER AREJEA JUKWAANI

                                                                                                                                                                                                      
               
Muigizaji maarufu wa sinema na uchekeshaji Chris Tucker amerudi tena kwenye uchekeshaji wa kwenye jukwaa ambao unajulika kama 'STAND UP COMEDY'.Muigijazi huyo maarufu mwenye miaka 38 ambae amepata umaarufu mkubwa sana katika filamu yake ya Rush Hour aliyo igiza na Jackie Chan.
           
Chris ameanza kufanya tena kazi yake ya uchekeshaji tena kuanzia tarehe 19 august na kumaliza mwezi wa november mwaka huu.                                                                                                                                          

Tuesday, August 30, 2011

Kim Kardashian atoa EID Mubarak

Superstar Kim Kardashian atoa salamu za Eid kwa mashabiki wake ulimwenguni kote hapo jaana baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Sio tuu Kim pia star kama will i am pia alipost katika twitter yake salamu za Eid kwa mashabiki wake ulimwenguni kote."Happy Eid to everyone who celebrates......have a gud day enshalla"aliandika kwenye twitter yake hapo jana.

Thursday, August 18, 2011

Ronaldinho kurejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa baada ya miezi tisa nje

Kiungo huyo alirudishwa kwenye kikosi hicho cha timu ya taifa baada ya kuonyesha kiwango chake cha zamani.Mechi yake ya kwanza itakuwa dhidi ya Ghana mechi ambayo ni ya kirafiki.

Lakini Maicon ataachwa kwasababu ya kuumia.

Monday, August 8, 2011

Lamborghini Aventor ya Mwaka huu

Engine

The Aventador LP700-4 will be using Lamborghini's new 690 bhp (510 kW) 6.5 liter 60° V-12 engine. Known internally as the L539,[3] the new engine is Lamborghini's fourth in-house engine and second V12. It is the first all-new V12 since the Countach[10] (the other 2 being the V8 from the Urraco/Silhouette/Jalpa and the V10 in the current Gallardo).
Displacement 6,498 cc (396.5 cu in)
Max power 700 PS (510 kW; 690 bhp) @ 8.250
Max torque 690 N·m (510 lb·ft) @ 5.500
CO2 emissions 398 g/km
Combined fuel consumption 17,2 l/100 km (13,5 mpg)[11]
Performance is estimated to be 0-100 km/h (62 mph) in 2.9 seconds with a top speed of around 350 km/h (220 mph).[12] Its EPA fuel mileage is 14 miles per US gallon (17 L/100 km; 17 mpg-imp).[10]
Its transmission, a single-clutch 7-speed semi-automatic, is built by Graziano Trasmissioni.[13][14] Although being single-clutch, gear-shifts are accomplished significantly faster than a dual clutch, in 50 milliseconds. However, some other gearboxes can achieve gear-shifts in only 8 milliseconds using the pre-select option, like Volkswagen's DSG gearbox.
aption

Saturday, August 6, 2011

Hackers wafanikiwa kuweza kuizima komputer ya Apple

Hackers ni watu maarufu wajulikanao kuweza kuvamia security ya komputer yako wakati wao wakiwa mbali na komputer yako na kuharibu baadhi ya vitu au hata kusoma taarifa muhimu ulizo hifadhi kwenye komputer hio.

Kumekuwa na taarifa nchini Marekani ya kuwawinda watu hao maana wamekuwa wakiweza kuvujisha taarifa za serikali.
Hivi karibuni watu wenye uwezo huo wameweza kuingilia komputer ambayo inasemakana ina ulinzi mkubwa sana ya Apple na kufanikiwa kuizima na hata kuweza kulipua komputer hio ya mtumiaji kwa umbali wowote ule.
Charlie miller kijana ambae alie hack mitambo ya Apple

Watu wengi wamekuwa wakiuliza watu wanaweza kulipua komputer yako bila hata kuwa karibu na komputer hio?mwakilishi wa Apple MacBook Charlie Miller anasema wanaweza kufanya hivyo kwa kupitia software ambayo inasaidia kuendesha bettry ya komputer yako.Kijana huyo ambae alionyesha jinsi ya kuingia kwenye hio security ya Apple na kuizima mitambo ya komputer hio.

"I don't want to wake up one day and have my computer blow up," said Miller, who is an avid user of Apple products. "I want to be the one looking at that -- not the bad guys."


Friday, August 5, 2011

Viongozi waliokaa muda mrefu madarakani

Meles Zenawi miaka 20 madarakani

Alikuwa madarakani tangu mwaka 1991 May 28 ni kiongozi wa nchi ya Ethiopia.










Idriss De'by miaka 21 madarakani

Ni kiongozi wa Chad kuanzia mwaka 1990.











Nursultan Nazarbayev madarakani miaka 21

Kiongozi wa Kazakhstan tangu mwaka April 24 1990.












Omar al-Bashir madarakani kwa miaka 22
Kiongozi wa Sudan tangu mwaka 1989 july.













Islom Karimov madarakani miaka 22.

Kiongozi wa Uzbekistan tangu mwaka 1989 june.











Blaise Compaore madarakani kwa miaka 24

Kiongozi wa Burkina Faso tangu mwaka 1987.












Yoweri Museveni madarakani miaka 26.

Kiongozi wa jirani zetu Uganda aliingia madarakani tangu mwaka 1986.











Robert Gabriel Mugabe madarakani miaka 31.


Kiongozi wa Zimbabwe tangu mwaka 1980 April.











Kiongozi Muammar al-Gadaffi madarakani miaka 46.
Kiongozi wa Libya tangu mwaka 1969 september 1 tarehe ambayo mimi nimezaliwa.





Jose Eduardo dos Santos madarakani kwa miaka 32.
Kiongozi wa Angola tangu mwaka 1979.










Tusiangalie wamekaa muda mrefu kuliko wote madarakani tuu bali pia tuangalie wamefanya nini katika nchi zao kwa muda wote waliokaa hadi leo hii na je bado wanastahili kuwepo??

Tiger Woods arejea kwa Kishindo

Baada ya kukaa muda mrefu na majeruhi ya mguu Tiger Woods amerejea kwenye ligi hio akiwa mzima wa afya mara baada ya kupona matatizo yake ya mguu.
Tiger Woods akirejea baada ya kukaa miezi mitatu nnje ya major championships.

Tiger alionyesha makali yake hapo Firestone akiwa na mpinzani wake Darren Clarke walipata pongezi kubwa sanaa baada ya kupiga shots zake za awali ambazo watu walionyesha kufurahia kwa kuamini kwamba yule Tiger Woods wazamani amerejea.

"My swing was more of a wipey swing, just kind of wiping it out there so I wasn't getting a full transfer of energy. Now I'm swinging easier. I am not even hitting it hard yet and that's what's fun. I'm hitting it farther without any more effort. Today, some of the drives I hit out there, I got my power back".alisikika Tiger Woods akieleza.

Thursday, August 4, 2011

OPRAH WINFREY ATAKA OBAMA ACHAGULIWE TENAA

Kutoka Washington Marekani mwanamama maarufu duniani Oprah Winfrey katika vipindi vya television ameeleza kwanba angependa Barack Obama achaguliwa tena na yuko tayari kumpa support yoyote ile atakayoweza kuitoa.

"I supported Barack Obama in 2008 because I believed then as I do now that he is the right man for the job,"alisikika mwana mama huyo akieleza.

Pia alisema kuwa "I wanted to share my enthusiasm for his candidacy in hopes that others would see what I saw in him".
Oprah winfrey ambae ni miongoni wanawake matajiri nchini Marekani ndie aliyekuwa kipaumbele kumuunga mkono sana raisi huyo katika uchaguzi wa mwaka 2008.

"As for 2012, if the campaign needs me, I'm happy to be of service. I'm in his corner for whatever he needs me to do,"

Thursday, April 7, 2011

Mtoto mwenye uzito wa mtu mzima!

Mtoto Lu Hao ana umri wa miaka 4 na uzito wa kilo zaidi ya 60 ambayo ni zaidi ya mara tano ya uzito wa watoto wa kawaida.
Baba na mama wa mtoto huyo anasema mtoto wao aliongezeka uzito mara baada ya miezi mitatu tangu azaliwe,ambae mtoto huyo alizawaliwa na uzito wa kawaida tuu.
Wazazi hao wamelalamika kuwa kila njia wanayotumia katika kuhakikisha mtoto huyo anapungua zimeshindikana na matokeo yake mwaka uliopita aliongezeka kilo 10 zaidi badala ya kupungua.
 Lu Hao huwa anatembea na wazazi wake kila siku ili kuhakikisha anapata mazoezi ili kuimarisha afya yake.
Lu Hao ambae hapendi kutembea kwenda shule ambae huwa anatumia baiskeli kwa kuwa mama yake hawezi tena kumbeba.Mama wa mtoto huyo ansema inawabidi wa mpe chakula cha wastani kwani huwa anakula chakula zaidi na akinyimwa huwa analia na kusumbua.Ili kuhakisha mtoto huyo anapungua wazazi wake wamemjengea sehemu ya kuchezea mpira wa kikapu na kumchukua kuogelea mara kwa mara.
Wazazi wa mtoto huyo wamempeleka hospital tofauti katika kupata ushauri wa madaktari kujua ni jinsi gani wanaweza kumsaidia mtoto wao kwani wanahofia moyo wake kushindwa kufanya kazi vizuri kutokana na muongezeko wa uzito wake.



Sunday, April 3, 2011

Manchester City 5-0 Sunderland: Roberto Mancini’s Men Turn On The Style To Leapfrog Chelsea In To Third Spot

Man City run riot with a five star performance and jump into third place at the expense of Chelsea, meanwhile the Black Cats suffer their sixth defeat in seven.

 

By Craig Turnbull

EPL - Manchester City vs Sunderland, Carlos Tevez and David Silva
EPL - Manchester City vs Sunderland, Carlos Tevez and David Silva

Related Links

Teams

It was all far too easy for Manchester City as they dismantled a Sunderland side winning 5-0 and overtaking Chelsea in the Premier League in some style and into 3rd place.

The Blues were far superior to a beleaguered Black Cats side with goals from Adam Johnson, Carlos Tevez, David Silva, Patrick Vieira and Yaya Toure ensured that Steve Bruce’s side would suffer their sixth defeat in seven matches.

Roberto Mancini made four changes to the squad that lost 2-0 against Chelsea.

The Blues boss elected to play temperamental Italian Mario Balotelli along with Tevez upfront with Johnson and Silva making up the very attacking quartet. 

The Spaniard proved to be a constant thorn in the Black Cats defence his movement, light centre of gravity and awareness of players around him gave him the advantage over a lumbering, sluggish Sunderland defence and assisted Tevez for City’s second and rounded off his day by scoring the third.

Gareth Barry was quickly brought down back to earth from being England captain on Tuesday to having to settle for a place on the bench on Sunday and his national counterpart James Milner would also suffer the same fate. But the two central midfielders would not be needed for this match as City dominated the proceedings.

Danny Welbeck would lead the line for the Black Cats but with little success as Vincent Kompany marshalled the youngster out of the game.

And his partner Asamoah Gyan would be looking to continue his great week against Blues goalkeeper Joe Hart having scored a brilliant goal against him in Ghana’s friendly against England midweek but it would be Blues keeper that would come out on top in this one.

Sunderland’s awful record at Eastlands having lost six out of six before this match looked like it was not going to get much better when Johnson found space in the box to slot past Simon Mignolet in goal after only nine minutes.

The midfielder played a lovely one-two with Toure on the right hand side to get past Phil Bardsley, and Johnson controlled the ball expertly before smashing the ball home from inside the box.

It was the start Mancini was looking for as his side could leapfrog Chelsea into third in the Premier League.

And things went from bad to worse for the Wearsiders as Bardsley lunged in on Tevez in the box as he was about to unleash the trigger, referee Howard Webb pointed to the spot .

The Argentine ace dusted himself down and took the resulting penalty placing it nonchalantly to the keeper’s left – Tevez was perhaps a bit too relaxed as Mignolet was unlucky not to keep the ball out getting fingertips to the ball to deflect it in off the post nevertheless it was the striker’s 19th goal of the season.

Twenty-five minutes played and Sunderland were in a complete state of shock having found themselves 2-0 down with less than a quarter of the match gone.

Michael Turner displayed the kind of desperation that had been surging through their team handling the ball needlessly to prevent Balotelli from getting past him giving the hosts a free-kick.

Kolarov stepped up in his trademark way that City fans have become accustomed to and raked a 25 yard stinging left foot drive wide of Mignolet’s goal.

Wave upon wave of Blue continuously bombarded the visitor’s backline and it looked only a matter of time before a third would be added.

Balotelli tried to find the corner of the net from 25 yards out but his tame effort was easily dealt with by Mignolet.

His opposite number Joe Hart remained all but a spectator but 36 minutes in he was awoken up from his slumber as he had to be aware of Gyan’s audacious half volley from just outside the box which had the England No.1 scrambling away to his left.

But that was all that Hart would have to contend with in the first half and indeed in the match.



Man City looked comfortable without really straining themselves. Steve Bruce had a lot of sorting out to do to avoid the Black Cats making it one point in a possible twenty-four.

However in the second half, Silva certainly was not going to make life any easier for the Wearsiders boss as he dinked a lovely ball into Johnson and despite the offside flag going up, Mignolet still made a decent save.

The Blues had livened up again and Balotelli was in the mood to get his name on the score sheet he produced a powerful run to get past Mensah and then fired a shot from a tight angle but again the Sunderland keeper foiled the 20 year old.

Boudejwn Zenden replaced Jordan Henderson on the hour mark, he was ineffective for the most part and the Dutch winger was thrown on to inject a little bit of pace in the visitors midfield perhaps he might have wished to remain on the bench given what was about to unfold.

It was the Spanish magician Silva who put the Black Cats to the sword. Tevez played in Balotelli, his shot was blocked and the winger picked up the loose ball a few yards out to roll it past Mignolet with the outside of his foot.

Johnson was taken off on 65 minutes to a rapturous applause from the home fans and Vieira was introduced and would make an immediate impact sliding in to put the ball into the net despite the best efforts of Mignolet to keep it out.

Balotelli stung the palms of Mignolet moments later as City threatened to run riot.

But if Steve Bruce thought that City were finished there, he was sorely mistaken.

Yaya Toure added a fifth with still 16 minutes remaining taking advantage of a Lee Cattermole error and galloped in between the two Sunderland defenders before dinking it over Mignolet in goal.

Sunderland has a chance of a consolation as substitute Elmohamady rose unmarked in the Blues box but his header was directed wide of Hart’s goal.

Balotelli nearly made it six with a stunning free kick in the dying moments but perhaps Mignolet won this small battle as produced a brilliant save to keep it at five.

Wednesday, March 30, 2011

Mjue mtanzania anaechezea klabu ya Chelsea huko Uingereza

Adam Nditi ni kijana wa kitanzania anaechezea timu maarufu duniani ya Chelsea,Adam ambae yuko katika academy ya klabu hio ambae anacheza kama kiungo mshambuliaji wa timu hio.
Adam Nditi alijiunga na klabu hio mwaka 2008 mara baada ya kufika nchini humo,Adam kwasasa ni mwanafunzi ambae anasoma nchini hapo ambae ataweza kusajiliwa pale atakapotimiza umri wa miaka 16.Adam amecheza mechi yake ya kwanza na Totenham Hotspur mwaka 2010.

Monday, March 28, 2011

Malawi charity staff to sue Madonna for unfair dismissal

London, March 28 : Pop diva Madonna, who dropped plans of building a school for girls in African nation, is now facing legal action for unfair dismissal from former employees of the Raising Malawi charity.

Madonna had been working on building a $15 million education facility in the village of Chinkhota through her charitable organisation. But the project has now been abandoned amid allegations of financial mismanagement, prompting Madonna to dismiss the foundation's board of directors.

However, the singer's representatives have since blamed former Raising Malawi executive director Philippe van den Bossche, who quit in October, for the mess.

But Madonna's actions have landed her in trouble with eight disgruntled employees at Raising Malawi taking their labour complaints to the country's industrial court, reports contactmusic. com.

The workers' lawyer, Mzondi Chirambo, said: "Their employment was terminated by the trustees of Raising Malawi Academy for Girls ostensibly following the change of plan not to build the school as planned. My clients are also being forced to sign a discriminatory termination agreement before they are paid their benefits."

Madonna has 14 days to respond to the claim, but the workers are likely to face a tough fight - the singer is looking into her own legal options and is considering filing suit against those involved in the failure of the school.(IANS)

Thursday, March 24, 2011

Sylvester Stallon kuwa Mbunifu wa mavazi


Muigizaji maarufu wa Hollywood Sylver Stallon au kama wengine tunavyomjua kwa jina la Rambo sasa aingia kwenye ulimwengu wa mavazi mara baada ya kuamua kutengeneza nguo za kiume kwa kutumia jina Sly Inc ambayo itafunguliwa mwakani.

"I thought the time is now. I've lived a life where I know what has worked and what hasn't worked. Clothingbuilding a character," alisikika akisema muigizaji huyo maarufu. is the first step to
Nguo zake za mwanzo zitahusisha jeans,shirts,outwear na underwear,pamoja na viatu vya michezo.Wateja wake anaowategemea ni kwenye umri kari ya 20-40.

'Nagging' Barcelona Are An Extremely Annoying Team - Arsenal's Robin Van Persie

Arsenal attacker Robin van Persie has slammed the behaviour of the Barcelona players.

Arsenal attacker Robin van Persie has looked back at the Gunners' Champions League round of 16 tie with Barcelona and has voiced his disappointment with the behaviour of the Catalan giants' players.

"I really didn’t understand all the fuss about the foul I committed on [Lionel] Messi. Everybody got angry with me, but I didn’t treat him any different than I treat other opponents. Nobody would have complained about it if I fouled Mascherano," said Van Persie to De Telegraaf.

"Meanwhile, the Barcelona players tend to nag about everything that happens on the pitch. I was a bit disappointed with that. It’s something that the Chelsea players do in England.

"Barcelona are still a fantastic team, but they should really stop nagging and complaining that much. That’s becoming extremely annoying on the pitch."

The Netherlands international also had plenty of positive words for the Spanish champions though.



"I have a lot of respect for Barcelona. Is it possible to match what Barcelona are doing? I rate Barcelona even higher than Spain’s national side. However, every team can be beaten. I never felt any less than the Barcelona players on the pitch."

Arsenal lost a first leg advantage to crash out of the Champions League to the Blaugrana, with Van Persie seeing red in the second half.

Tuesday, March 22, 2011

Schwarzenegger aongelea mpango wa kufanya "True lies 2"

Arnold Schwarzenegger muigijazi maarufu aongea mkataba wa kufanya filamu ya "True Lies 2".
Ni aliyekuwa kiongozi wa zamani wa California ambaye baada ya kumaliza muda wake wa uongozi ameamua kurudi tena kwenye ulimwengu wa filamu na True Lies 2 ni miongoni mwa filamu anayotarajia kuifanya mara baada ya ile yakwanza aliyokwisha kuonesha umahiri wake.

Saturday, March 19, 2011

Book imagines what if Diana had faked her own death, started life anew

London, Mar 19: An author has written a book that imagines what would have happened had Princess Diana faked her own death and started life anew.


Monica Ali, whose first novel `Brick Lane' won rave reviews, was shortlisted for the Booker Prize and became a global bestseller, has written the book `Untold Story'.
Ali uses a fictional princess in her new book based on Princess Diana and the fateful car accident she had in Paris in August 1997.

Diana is portrayed fulfilling her fantasy of living a free life and ten years on, living in a small town in the United States, flicking through magazines searching for pictures from London, for a glimpse of her old life.
Lydia, the assumed identity of Ali's protagonist, shares many things in common with Diana. Adored by millions, in her personal life she has suffered rejection, heartbreak and betrayal.
Ali wrote the book after doing some thorough research about Diana, and of the many aspects, she picked out three in particular.

The first was how rebellious Diana was, refusing to follow the rules of the Royal household.
The second aspect is the way that she suffered, and the way she reached out by sharing the details of her eating disorder and her husband's infidelities.

Thirdly, was how Diana longed to escape her life which was, despite how she kicked against it, suffocating in many ways.
"Of course, it is a fantasy, a fairy tale. Yes, I took my cue from Diana's escape fantasy," the Daily Mail quoted Ali as saying.
"But mainly, I was interested in exploring identity - that which makes a person who they are. How much of what shapes us is innate, and how much is determined by our environment.

"For which of us has not wondered, at some stress-filled point in our lives, what it would be like to walk out of one life and begin another? It's the Reggie Perrin syndrome: leave your clothes on the beach, disappear and begin again.

"Is it really possible to leave your troubles behind? That's what I wanted to explore. But I also wanted to pay tribute to one of the most extraordinary and misunderstood women in recent history," she stated.
`Untold Story' will be published on March 31 by Doubleday, at 16.99 pounds. (ANI)

Friday, March 18, 2011

Gadgets wanatambulisha simu za wazee

JUST 5 ni simu aina mpya ambayo ni rahisi na maalumu zaidi kwa watu wazima.
Simu hiyo ambayo inasehemu ya kupiga,kupokea na kutuma messeji tu,simu hio herufi zake ni kubwa kuwezesha watu wenye matatizo ya macho kuona kwa urahisi.
Simu hio yenye uwezo wa kukaa na chargi kwa siku sita na inapatikana kwa $90 tu.

Ronaldo’s girlfriend gets up close and personal with hunky bloke for ad


 London, Mar 18: Cristiano Ronaldo''s gorgeous girlfriend Irina Shayk smooched a male model only for the cameras on an ad shoot in Spain.

The 25-year-old Russian beauty posed in various steamy shots with chiselled Arthur Sales, wearing little more than a pair of denim hotpants and flaunting her svelte physique, reports the Sun.
In one pic, the Brazilian lad presses his face against a topless Irina as she throws her head back seductively.
In another, the pair don''t have time to make their way to the bedroom as they lie back on a sofa in the throws of passion. (ANI)