Monday, March 7, 2011

Facebook kuanzisha mbinu ya kuzuia uhalifu


Facebook waanzisha mbinu ya kuweza kuzuia uhalifu ili kupunguza uhalifu katika jamii tuishizo.Taarifa  itakapotolewa na watu baada ya kuwa na wasiwasi na mtu au na watu fulani watatakiwa kutoa taarifa kupitia taalam mpya ya facebook ambao wao wenyewe watatoa taarifa polisi haraka iwezekanvyo mara baada ya kufanyia uchunguzi taarifa hizo.
"When a report is made, they then assess whether they need to call the police immediately or forward it on to us," said Samaritans' Nicola Peckett

No comments:

Post a Comment